<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" version="2.0">
  <channel>
    <atom:link type="application/rss+xml" href="http://sabahionline.com/sw/rss" rel="self"></atom:link>
    <title>Sabahionline.com: Habari za Sabahi katika RSS</title>
    <link>http://sabahionline.com/</link>
    <description>Mtandao wa habari wa Sabahionline.com unatoa taarifa na habari kuhusu eneo la Pembe ya Afrika kutoka kwa waandishi wa habari walioko Somalia, Djibouti, Kenya na Tanzania.</description>
    <language>sw</language>
    <item>
      <title>Msemaji wa AMISOM abainisha uongo idadi ya majeruhi, aelezea mipango ya muda mrefu</title>
      <description>Katika mahojiano ya kina na Sabahi, Msemaji wa Misheni ya Afrika Mashariki nchini Somalia Kanali Ali Aden Humad alizungumzia kuhusu jinsi AMISOM wanavyowasaidia Wasomali kuleta amani na utulivu.</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/features/2013/05/22/feature-01</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/features/2013/05/22/feature-01</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Waajiri wa Kenya watoa tahadhari kuhusu ubora wa wahitimu wa vyuo vikuu</title>
      <description>Huku kukiwa na ongezeko la usajili katika vyuo vikuu, Shirikisho la Waajiri Kenya na wengine wanauliza iwapo wahitimu wanapata mafunzo yanayofaa kwa ajili ya kazi.</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/features/2013/05/22/feature-02</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/features/2013/05/22/feature-02</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Wabunge wa Somalia waondoa rasmi hoja dhidi ya Shirdon, baraza la mawaziri</title>
      <description>Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri kutafuta kura ya imani nao, alitangaza Spika wa Bunge...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-01</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-01</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Silanyo, ujumbe wa Umoja wa Ulaya wajadiliana ushirikiano</title>
      <description>Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Somalia, Balozi Michele Cervone d'Urso, mjni Hargeisa s...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-02</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-02</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam wagharimu mabilioni ya dola, Benki ya Dunia yasema</title>
      <description>Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jirani zaidi ya dola bilioni 2.6 (shilingi trilioni 4.3...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-03</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-03</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Viongozi wa Puntland wapanga nafasi za wanawake kwenye uchaguzi wa mitaa mwezi wa Julai</title>
      <description>Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake kushiriki kwenye uchaguzi ujao wa mabaraza ya miji hap...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-04</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-04</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Vikosi vya Somalia, AMISOM vyapekua nyumba Mogadishu</title>
      <description>Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ya watu 500 siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) wakati w...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-05</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-05</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Guelleh, mjumbe wa Saudi Arabia wazungumzia uharamia, ugaidi</title>
      <description>Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Nasser, mjumbe maalum wa Waziri wa Mambo ya Ndani wa S...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-06</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-06</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Tume ya maridhiano yawaomba maafisa wa Kenya kuomba radhi kwa unyanyasaji uliopita</title>
      <description>Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kutokana na unyanyasaji tangu miaka 50 nyuma, Tume ya U...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-07</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-07</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Djibouti atoa wito kwa kuimarishwa kwa vita dhidi ya magendo</title>
      <description>Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika vita dhidi ya magendo na anatafuta mkakati wa kunas...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-08</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/22/newsbrief-08</guid>
      <pubDate>Wed, 22 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Gavana wa Kaunti ya Mandera aitisha mkutano kutuliza vurugu kati ya koo mpakani</title>
      <description>Kutokana na vurugu za kuvuka mipaka, Kaunti ya Mandera inatafuta ushirikiano kutoka kwa maafisa na viongozi wa jamii mbalimbali huko Kenya, Ethiopia na Somalia.</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/features/2013/05/21/feature-01</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/features/2013/05/21/feature-01</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Serikali ya Somalia yaanza kuondosha vizuizi haramu vya barabarani nje ya Mogadishu</title>
      <description>Serikali inafanyakazi ya kusafisha barabara zinazounganisha Mogadishu na Marka na Baidoa ili wananchi waweze kusafiri bila ya kuzuiwa na wanachama wanamgambo.</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/features/2013/05/21/feature-02</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/features/2013/05/21/feature-02</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Wabunge wa Somalia watupilia mbali hoja dhidi ya Shirdon, baraza la mawaziri</title>
      <description>Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la mawaziri watafute kura ya imani baada ya kukabiliwa na...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-01</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-01</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Usalama wa waandishi, uungaji mkono vyazua mtafaruku bungeni Tanzania</title>
      <description>Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kudharau usalama wa waandishi wa habari huku serikali i...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-02</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-02</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Vipimo vya DNA kutoka mkahawa wa Mombasa ulioshambuliwa vyamtia hatiani mshukiwa aliyekamatwa</title>
      <description>Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopatikana katika eneo la tukio mashambulizi ya risasi na...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-03</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-03</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Waandamanaji Kenya washtakiwa kwa ukatili dhidi ya wanyama</title>
      <description>Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama kwa kutumia kwao nguruwe katika maandamano ya wiki...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-04</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-04</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Al-Shabaab yarusha makombora kwenye kasri ya rais wa Somalia</title>
      <description>Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya Jumatatu (tarehe 20 Mei)....</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-05</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-05</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Wanajeshi wa Uganda wakamilisha ziara ya kikazi Somalia</title>
      <description>Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara ya kikazi chini ya Misheni ya Umoja wa Afrika nchini...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-06</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-06</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>Kenya kuanza kuhakiki wanaotarajiwa kuwa makamanda wa polisi</title>
      <description>Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili watahiniwa kwa ajili ya ukurugenzi kwenye makao makuu...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-07</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-07</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
    <item>
      <title>3 wauawa katika ujambazi ulioshindwa huko Mombasa</title>
      <description>Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu watatu siku ya Jumatatu (tarehe 20), gazeti la Daily...</description>
      <link>/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-08</link>
      <guid isPermaLink="false">hoa/articles/newsbriefs/2013/05/21/newsbrief-08</guid>
      <pubDate>Tue, 21 May 2013 00:00:00 +0000</pubDate>
    </item>
  </channel>
</rss>
