2013-05-15
Vyama vikuu viwili vya wafanyakazi nchini, Chama Kikuu cha Wafanyakazi wa Djibouti na Umoja wa Wafanyakazi wa Djibouti, vinapaswa kuunganisha nguvu zao ili kutetea haki za sehemu za kazi, wafanyakazi wasema.
Wakosoaji wasema Kenya haijafanya vya kutosha kubainisha rushwa inayofanywa na polisi, wakati maofisa wa polisi wanasema fedha zaidi zinahitajika kupanga polisi pamoja na kuondoa mfumo wa serikali.
2013-05-14
Viwango vya elimu vyenye uwiano vingeweza kutoa fursa kwa raia na makampuni katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvuka mipaka kutafuta ajira na fursa, wadau wasema.
Serikali ya Somalia inajaribu kuanzisha ujumbe mpya wa kidiplomasia duniani kote ili kuonesha sera zake juu ya uchumi na maendeleo ya binadamu.
2013-05-13
Kama sehemu ya jitihada za kuondoa kabisa vitisho vya al-Shabaab, serikali inafufua askari wa akiba wa Kenya, kikosi cha raia wenye silaha ambao wataingia kama askari kanzu katika jamii zao.
Zaidi ya wanawake 200 wa Somalia wasiojua kusoma, kuandika wala kuhesabu wanapata mafunzo ya bure katika shule ya Wilaya ya Waberi.
2013-05-19
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika miliki yao, polisi wa Tanzania walisema hapo Jumamosi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa sasa na badala yake kulenga juu ya ahadi walizotoa w...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo Jumamosi (tarehe 18 May) katika mkoa wa Bakol, mtanda...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kaskazini mashariki mwa Kenya Jumamosi jioni (tarehe 18...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (tarehe 17 Mei), huku kiongozi wa Muungano wa Wengi A...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa wafugaji katika mkoa wa Ali Sabieh kuhusu afya na us...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandishi wa habari kuwa na taarifa za kutosha kuhusu masua...
2013-05-17
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) zinapaswa kutanuliwa ili kuzuia athari za g...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Korea ya Kusini nchin...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa al-Shabaab kuvami...
Kituo cha Operesheni za Polisi Kenya kitaipa nchi makali ya kuzuia vitisho vya wenye msimamo mkali kwa kuratibu juhudi za pamoja baina ya idara za usalama, maafisa wa serikali wasema.