Desemba 21, 2012
Kiasi cha watu 39 waliuawa katika mapigano mapya kati ya jamii za Pokomo na Orma katika eneo la Tana River Delta hapo Ijumaa (tarehe 21 Disemba), liliripoti shirika la habari la AFP.
Jamii hizo mbili zilipigana hivi karibuni katika majira ya kiangazi yaliyopita katika msururu wa uvamizi yalioua zaidi ya watu 100.
Ghasia za sasa zinaweza kuhusishwa na uchaguzi mkuu wa Kenya uliopangwa kufanyika mwezi Machi 2013, kwani mabadiliko ya mipaka ya wilaya yamepelekea kuondoka kwa nguvu za kisiasa kati ya makundi tafauti ya kikabila kwenye eneo hilo.
Polisi waliripotiwa kuiambia AFP kwamba mkasa huo wa hivi karibuni ulichangiwa na operesheni ya kuwanyang’anya watu silaha ambao ulishukiwa kulalia upande mmoja.
Picha zilizotumwa kwenye mtandao wa Twitter wa Msalaba Mwekundu zinaonesha viambaza vya mabanda yaliyovunjwa vikiwa vimesimama lakini mapaa yake yameteketezwa kabisa.
Shirika la Msalaba Mwekundu limesema kwamba timu lake la waokoaji lilikuwa likiwahudumia majeruhi, 30 kati yao wakiwa katika hali mbaya sana. Hawakutoa idadi kamili ya watu wote waliojeruhiwa.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji