Septemba 07, 2012
Vikosi vya usalama vya Somalia viliwakamata watu 323, wengi wao vijana, katika operesheni ya usalama mjini Mogadishu hapo Alhamisi (tarehe 6 Septemba), uliripoti mtandao wa habari wa Somalia, Shabelle Media Network.
"Lengo la operesheni hiyo lilikuwa ni kuhakikisha usalama wa mji mkuu na kuyamaliza mabaki ya makundi ya wapinga amani mjini Mogadishu," alisema kamanda wa Usalama wa Taifa kwa mkoa wa Banadir Kanali Khalif Ahmed Ereg. Alisema maafisa wa polisi walisaidia katika operesheni hiyo, na vikosi hivyo viwili vitabakia kwenye hali ya tahadhari hadi usalama urudi mjini.
Operesheni hiyo ilikuwa ukamataji mkubwa kabisa wa watu wengi kuwahi kufanywa na Usalama wa Taifa ukiwalenga watuhumiwa wa al-Shabaab na makundi yenye silaha yanayotishia amani, liliripoti shirika hilo la habari.
Wizara ya Usafiri wa Anga ya mkoa wa Somaliland siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni) iliikataza ndege...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata makamu wanne wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Ma...
Watu wenye silaha kwenye Kaunti ya Wajir walimuua polisi mmoja wa akiba wa Kenya siku ya Jumanne ...
Japan inaipa Tanzania dola milioni 49 (shilingi bilioni 80.4) kama msaada na mkopo kwa ajili ya k...
Inspekta Jenerali wa Polisi David Kimaiyo yeye pekee yake amewateua na kuwapangia kazi maafisa wa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne ilimkubalia Makamu wa Rais wa Kenya Willia...
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji