Pearson, Oxfam zachangia vitabu 150,000 kwa shule za msingi za Tanzania

Agosti 19, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Wachapishaji wa vitabu vya elimu Pearson, imefadhili vitabu vya kiada 150,000, atlasi na vitabu viongozi vya mwalimu kwa shule za Msingi za Tanzania, wakishirikiana na shirika la sadaka la kimataifa la Oxfam, gazeti la Daily News la Tanzania liliripoti Jumapili (tarehe 19 Agosti).

"Oxfam imefurahishwa sana kujihusisha na ufadhili kwa sababu tunahisi kwamba unarandana vizuri na programu yetu kuimarisha haki za wanafunzi wasichana katika elimu," alisema Mkurugenzi wa Oxfam Tanzania Monica Gorman.

Vitabu hivyo vitapelekwa katika shule za msingi 258 za mikoa ya Tanzania ya Arusha, Shinyanga na Dodoma. Gorman alisema ufadhili huo utafanya mabadiliko makubwa katika mikoa hii, ambayo ununuzi wa vifaa vya kujifunzia umekuwa na changamoto za kila wakati.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo