Agosti 19, 2012
Mwakilishi Maalumu wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika ya Somalia, Balozi Boubacar Diarra alituma salamu za Idd kwa watu wa Somalia siku ya Jumapili (tarehe 18 Agosti 18th).
"Idd al-Fitr ya mwaka huu imekuja katika kipindi muhimu kwa historia ya Somalia, kwa sababu nchi hivi karibuni ilipitisha katiba ambayo ilimaliza miaka 12 ya serikali za mpito na inajiandaa kuikaribisha serikali mpya baada ya miongo kadhaa ya vurugu,"alisema Diarra, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Somalia.
Diarra pia alitoa shukrani zake na salamu za Idd kwa wanajeshi wanaotumikia Jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM). "Kufanya kwenu kazi kwa bidii na kujitolea kumeipa Somalia fursa nzuri iliyokuwa nayo katika miongo mingi kupata amani na utulivu," alisema.
AMISOM inaendelea kuahidi kuisaidia Somalia, na itaendelea kufanya kazi pamoja na serikali mpya iliyoanzishwa baada ya madaraka ya Serikali ya Mpito ya Shirikisho kumalizika siku ya Jumatatu, alisema.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji