Agosti 19, 2012
Viongozi wa Gedo walionyesha miili ya watuhumiwa watatu wa wapiganaji wa al-Shabaab siku ya Jumapili (tarehe 18 Agosti), baada ya kuuawa katika shambulio la kigaidi lililoshindwa, Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na UN iliripoti.
Mkuu wa Wilaya wa Beled-Hawo Mohammoud Ahmed Beyhani alisema wapiganaji walikuwa wanaweka milipuko kuzunguka eneo la swala ya Idd al-Fitr Jumapili katika mji huo,wakati milipuko yalipolipuka mapema, ikawaua wakosaji hao.
Mapambano ya mwishoni mwa Julai kati ya al-Shabaab na wanajeshi wa Serikali ya Shirikisho ya Mpito ya Somalia yakisaidiwa na vikosi vya Kenya yalisababisha vifo vya wapiganaji 26 na wengine wengi kujeruhiwa , kwa mujibu wa Gavana wa Gedo Mohamed Abdikalil.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Suluhisho pekee la kudumu kwa matatizo ya Somalia ni kwa mataifa yanayoizunguka kama vile Kenya na Ethiopia kuichukua na kuiunganisha nchi hio na zao na kuzifuta mila zao kwa takriban kipindi cha miaka 20 kabla ya kuirejesha nchi kwa watu wake.
WASIUE watu kama mbwa ingawa ni magaidi.