Agosti 17, 2012
Walinzi wa mwambao walizuia watu 1,500 wa uhamiaji haramu mwezi huu uliopita, kwa mujibu wa kamanda wa walinzi wa majini Luteni Kanali Waiss Omar Bogoreh.
"Hawa ni wengi sana kama utazingatia tangu kuanzishwa kwa taasisi hii, tumeshakamata jumla ya watu 4,000," Bogoreh alisema katika mahojiano na gazeti la Djibouti La Nation lililochapishwa (tarehe 16 Agosti). Jeshi la walinzi wa mwambao la Djibouti lilianzishwa kwa amri ya raisi mwaka 2010.
Bogoreh alisema kuwa pamoja na kupambana na biashara ya binadamu, walinzi wa mwambao wanafanyakzi kuzuia magendo haramu ya bidhaa na kuzuia uvuvi haramu nje ya mwambo wa nchi.
"Uchumi wa nchi yetu unategemea sana juu ya ukuaji wa shughuli za baharini na kwa hivyo walinzi wa majini lazima wawe tayari kukabiliana na mahitaji mapya katika kukua kwa safari zisizo za lazima," alisema.
Bogoreh alisifia juhudi za Djibouti za kupambana na uharamia katika kanda hii, kwa kusema kuwa nchi inafungamana na mipango ya kimataifa ya kuzuia uharamia katika Ghuba ya Adeni na Bahari ya Hindi.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji