Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Agosti 17, 2012
Vikosi vya Ulinzi vya Kenya (KDF) viliwaua wapiganaji wa al-Shabaab 73 wakati wa mapambano katika mji wa Fatadun katika mkoa wa Gedo ulio kusini mwa Somalia Jumatano (tarehe 15 Agosti), Gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti.
Msemaji wa KDF Emmanuel Chirchir alithibitisha idadi hiyo katika mtandao wa Twitter, akisema vikosi vya Kenya viliteka zaidi ya AK-47 100.
Al-Shabaab pia walidai kuwa waliwaua zaidi ya wanachama 60 wa KDF na vikosi vya serikali ya Somalia.
Idadi ya waliokufa kwa pande zote mbili haikuweza kuthibitishwa kipekee.
Si chini ya askari wawili wa Kenya walijeruhiwa katika makabiliano hayo, ambayo yalianza wakati al-Shabaab waliposhambulia ngome za KDF huko Fafadun usiku wa Jumatano. Al-Shabaab walipanga kuvamia kambi hiyo, lakini vikosi vya KDF vilipata taarifa ya awali ya upelelezi na kusubiri mapambano, gazeti hilo liliripoti.
Askari waliojeruhiwa walichukuliwa kwa ndege hadi Nairobi kwa matibabu siku ya Alhamisi.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
KDF, shinikizeni na muwapiga. Tunawaunga mkono na tuko tayari kujitolea kwa dhamira hii yenye utukufu.
HONGERA KWA KDF.
eventuary al-shabaab will be diffinted by the KDF/AMISOM.(kilicho na wanzo lazima kitakua na mwisho).
Nadhani ni kutojua kusoma au kuandika ndio uliowafanya wateseke.