Agosti 17, 2012
Vikosi vya Ulinzi vya Kenya (KDF) viliwaua wapiganaji wa al-Shabaab 73 wakati wa mapambano katika mji wa Fatadun katika mkoa wa Gedo ulio kusini mwa Somalia Jumatano (tarehe 15 Agosti), Gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti.
Msemaji wa KDF Emmanuel Chirchir alithibitisha idadi hiyo katika mtandao wa Twitter, akisema vikosi vya Kenya viliteka zaidi ya AK-47 100.
Al-Shabaab pia walidai kuwa waliwaua zaidi ya wanachama 60 wa KDF na vikosi vya serikali ya Somalia.
Idadi ya waliokufa kwa pande zote mbili haikuweza kuthibitishwa kipekee.
Si chini ya askari wawili wa Kenya walijeruhiwa katika makabiliano hayo, ambayo yalianza wakati al-Shabaab waliposhambulia ngome za KDF huko Fafadun usiku wa Jumatano. Al-Shabaab walipanga kuvamia kambi hiyo, lakini vikosi vya KDF vilipata taarifa ya awali ya upelelezi na kusubiri mapambano, gazeti hilo liliripoti.
Askari waliojeruhiwa walichukuliwa kwa ndege hadi Nairobi kwa matibabu siku ya Alhamisi.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
KDF, shinikizeni na muwapiga. Tunawaunga mkono na tuko tayari kujitolea kwa dhamira hii yenye utukufu.
HONGERA KWA KDF.
eventuary al-shabaab will be diffinted by the KDF/AMISOM.(kilicho na wanzo lazima kitakua na mwisho).
Nadhani ni kutojua kusoma au kuandika ndio uliowafanya wateseke.