Agosti 15, 2012
Ujenzi ulianza siku ya Jumanne (tarehe 14 Agosti) wa chuo kikuu kipya kinachotarajiwa kuchukua zaidi ya wanafunzi 2,000 katika wilaya ya Darkenley ya Mogadishu, Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti.
Waziri wa Elimu wa Somalia Ahmed Aideed Ibrahim aliweka jiwe la msingi katika sherehe za ufunguzi zilizohudhriwa na Gavana wa Benadir Mohamud Ahmed Nur, Balozi wa Uturuki Somalia Cemalettin Kani Torun na maafisa kadhaa wa serikali.
Chuo kikuu hicho kitakuwa kituo cha Mogadishu cha mafunzo ya afya, ambapo ujenzi unafadhiliwa na shirka la Uturuki.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji