Agosti 10, 2012
Jumuiya ya misaada ya Djibouti, al-Biri, iligawa chakula kwa zaidi ya watu 2,300 wakati wa kufanya msafara wa chakula cha Ramadhani mwezi huu, liliripoti gazeti la nchi hiyo la La Nation hapo Alhamis (tarehe 9 Agosti).
Al-Biri iliwafikia zaidi ya familia 500 katika wilaya ya Arta na miji ya Abu Yusef na Sankal kwa ushirikiano na taasisi ya Kifaransa isiyo ya kiserikali, Islamic Relief France.
Al-Biri iligawa chakula hicho kwa mayatima, wazee, walemavu na watu masikini.
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
Mahakama moja ya Bosaso iliwatia hatiani na kuwapiga faini Wairani 78 siku ya Jumapili (tarehe 19...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata watuhumiwa 15 kuhusiana na kulichoma Kanisa la Bethania kweny...
Mkuu wa Polisi wa Kenya, David Kimaiyo, ameondoa nafasi za afisa polisi wa jimbo, afisa wa upelel...
Watu wenye silaha waliwaua watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne katika mashambulizi tofauti kw...
Mkutano wa kuzungumzia uwezekano wa uchimbaji mafuta na gesi, uwekezaji, usalama na miundombinu n...
Wizara ya Masuala ya Wanawake na Familia ya Puntland ilianza mafunzo ya siku nane hapo Juampili (...
Zaidi ya Wasomali milioni 1 hawatakuwa na "usalama wa chakula" hadi mwezi wa Septemba, Mtandao wa...
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji