Agosti 10, 2012
Kenya inadhamiria kuwasilisha ombi la kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa mwenyeji wa Michezo ya Olimpiki 2024, liliripoti gazeti la Financial Times hapo Ijumaa (tarehe 10 Agosti).
"Kenya ilikuwa na imani hiyo tangu mwaka 1968 kufikiria kuandaa michezo ya Olimpiki," alisema Waziri Mkuu Raila Odinga akiwa jijini London. "Hiyo ni imani tunayohitaji kuwa nayo tena. Tunahitaji kuirudisha imani hiyo na tunaweza kufanya hivyo. Ni muhimu kuangalia nyuma kule tulikotoka na wapi tunataka kwenda, kwa sababu tumekuwa tukijikokota kwa muda mrefu mno," alisema.
Odinga alisema miundombinu na biashara ya Kenya itavuna "faida kubwa sana" kutokana na uwekezaji ambao ni lazima katika kuwa mwenyeji wa Olimpiki.
Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki imeelezea hamu yake ya kupokea maombi kutoka kwa nchi za Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara, kwa mujibu wa gazeti la Financial Times. Afrika ya Kusini, Qatar, Marekani, Morocco, Misri na Argentina zimetajwa kama wagombea katika kutayarisha Michezo ya 2024.
Wizara ya Usafiri wa Anga ya mkoa wa Somaliland siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni) iliikataza ndege...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata makamu wanne wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Ma...
Watu wenye silaha kwenye Kaunti ya Wajir walimuua polisi mmoja wa akiba wa Kenya siku ya Jumanne ...
Japan inaipa Tanzania dola milioni 49 (shilingi bilioni 80.4) kama msaada na mkopo kwa ajili ya k...
Inspekta Jenerali wa Polisi David Kimaiyo yeye pekee yake amewateua na kuwapangia kazi maafisa wa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne ilimkubalia Makamu wa Rais wa Kenya Willia...
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji