Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Agosti 10, 2012
Jeshi la Somalia limefungua mahakama mpya huko Balad, Redio Bar-Kulan inayogharamiwa na Umoja wa Mataifa iliripoti siku ya ijumaa (tarehe 10 Agosti).
Hakimu Jenerali Hassan Mohamed Hussein aliongoza ufunguzi wa mahakama hiyo ambapo aliishukuru TFG na vikosi vya washirika kwa kuikomboa Balad kutoka kwa al-Shabaab na kufanya uanzishwaji wa mahakama kuwezekana.
Hussein alisema wanao watuhumiwa kadhaa wa wanamgambo wa al-Shabaab kizuizini, na baadhi yao tayari wamekubali kuwa wanachama wa kikundi cha mafungamano na al-Qaeda.
Hussein alisema atasimamia vizuri vikosi vya serikali ya Somalia huko Balad ili kuhakikisha heshima yao kwa wakazi wa eneo hilo, na kuwaonya dhidi ya kuendesha vituo haramu vya upekuzi, na kuongeza kuwa atawashitaki wale watakaovunja sheria.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji