Agosti 10, 2012
Jeshi la Somalia limefungua mahakama mpya huko Balad, Redio Bar-Kulan inayogharamiwa na Umoja wa Mataifa iliripoti siku ya ijumaa (tarehe 10 Agosti).
Hakimu Jenerali Hassan Mohamed Hussein aliongoza ufunguzi wa mahakama hiyo ambapo aliishukuru TFG na vikosi vya washirika kwa kuikomboa Balad kutoka kwa al-Shabaab na kufanya uanzishwaji wa mahakama kuwezekana.
Hussein alisema wanao watuhumiwa kadhaa wa wanamgambo wa al-Shabaab kizuizini, na baadhi yao tayari wamekubali kuwa wanachama wa kikundi cha mafungamano na al-Qaeda.
Hussein alisema atasimamia vizuri vikosi vya serikali ya Somalia huko Balad ili kuhakikisha heshima yao kwa wakazi wa eneo hilo, na kuwaonya dhidi ya kuendesha vituo haramu vya upekuzi, na kuongeza kuwa atawashitaki wale watakaovunja sheria.
Polisi nchini Tanzania wamewakamata watu 90 siku moja baada ya maandamano ambapo mtu mmoja aliuaw...
Kenya ililiomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) kufutwa kw...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia aliongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa ...
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Shirika la Maendeleo la Pembe ya Afrika (IGAD) w...
Kiongozi wa jamii huko Zanzibar, Mohammad Omar Said, alishambuliwa kwa tindikali siku ya Alhamisi...
Mahakama moja ya Puntland imewahukumu kifo watu saba kwa mauaji ya ulamaa wa Kisomali, Abdulkadir...
Shirika la kimataifa la misaada la Global Partnership for Education (GPE) limetangaza msaada wa d...
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa Kenya...
Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto ameahidi adhabu kali zaidi kwa majangili katika mswada wa Sh...
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji