Agosti 10, 2012
Serikali ya Somalia imeanza mpango wa usalama kwa kuwanyang'anya raia silaha na imepiga marufuku kubeba silaha mjini Mogadishu, iliripoti Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa hapo Ijumaa (tarehe 10 Agosti).
Upigaji huo marufuku ni sehemu ya mkakati mkubwa wa kuongeza usalama katika mji huo kwa matayarisho ya uchaguzi wa uraisi hapo tarehe 20 Agosti, alisema Waziri wa Ulinzi, Hussein Arab Isse.
Isse aliwataka wakaazi wa Mogadishu kushirikiana na polisi na vikosi vya jeshi katika jitihada za kupunguza uhalifu na kuwapa taarifa panapokuwa na vitendo vinavyotilika mashaka.
Alisema wanasiasa wanahitaji kufanya kazi na vikosi vya usalama na aliwaonya kutokuizingiza kazi za kijeshi kwenye siasa.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Mogadishu ilikuwa muda mrefu iache bunduki chini. Silaha zisiwe katika mikono ya vikundi vya watu binafsi. Ninamlaumu raisi wa sasa kwa kukabidhi silaha nyingi kwa koo baada ya kuanguka kwa UIC. Laiti ungejua.[Illeen talo isuma kaa sheegto].