Agosti 09, 2012
Kikosi cha polisi cha Somalia, kikisaidiwa na wanamgambo wa Ras Kamboni Brigade, waliwakamata watu kadhaa wanaoshukiwa kujihuisha na uhalifu katika eneo la Afmadow wakati wa msako wa usalama hapo usiku ya Jumatano (tarehe 8 Agosti), iliripoti redio inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa, Bar-Kulan.
Kamanda wa kituo cha polisi cha Afmadow, Adan Dorad, alisema operesheni za usalama zitaendelea hadi vikosi vya washirika viyafyeke makundi yote ya kihalifu yanayotishia usalama wa wakaazi wa huko.
Operesheni hiyo ya polisi ilifuatia mashambulizi ya Jumanne ambapo makundi yenye silaha yalirusha risasi kwa wanajeshi na raia na kusababisha idadi kadhaa ya vifo na majeruhi, iliripoti redio hiyo.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji