Agosti 07, 2012
Wadhamini wa Mpango Mkuu ya Somalia waliokutana jijini Nairobi walitoa rasimu ya tamko hapo Jumatatu (tarehe 6 Agosti ) kuzungumzia hatua zilizobakia kukamilisha kipindi cha utawala wa mpito.
Tamko hilo lililotolewa na Ofisi ya Siasa ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Somalia (UNPOS), ilitatua mivutano inayoendelea kati ya wakuu wa makabila kutoka kabila la Dhulbahante kaskazini ya Somalia kuhusiana na uchaguzi wa kundi la wabunge, na kurudia msimamo wake kwamba uchaguzi wa wabunge, rais na spika utafuata Makubaliano ya Garowe .
Washiriki pia walitaka kuwepo kwa usalama wa wajumbe wa Kamati ya Ufundi, ambao wamepewa jukumu la kuhakikisha uadilifu na uwazi katika utaratibu wa uchaguzi. UNPOS itachukua hatua za haraka kuongeza ulinzi kwa wajumbe wa kamati hiyo, ilisema taarifa hiyo.
Wajumbe waliosaini tamko hilo walirejelea msimamo wao kwamba rushwa na vitisho havitavumiliwa wakati wa utaratibu wa uteuzi.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji