Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Agosti 03, 2012
Usalama wa chakula umeimarika kidogo mwaka huu jijini Dar es Salaam, ikilinganishwa na mwaka 2011, kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na shirika lisilo la faida la Twazeza linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa, gazeti la Daily News la Tanzania liliripoti hapo Ijumaa (tarehe 3 Agosti).
Utafiti huo ulioendeshwa baina ya mwezi Januari na Aprili, unaonesha uimarikaji mfululizo katika usalama wa chakula nchini ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita.
"Uchunguzi unaonesha hali ya uimarikaji mfululizo, dhidi ya kuanguka kwa upandaji wa bei wa mwaka jana, ambapo mfumko wa bei nchini ulikuwa mkubwa sana na usiopungua mwaka mzima, na kufikia asilimia 18 mwezi Disemba 2011," alisema William Kihula, meneja wa takwimu na utafiiti wa Twaweza.
Data zilizokusanywa kwa mahojiano kwa njia ya simu kwa maelfu ya wakazi wa wilaya tatu za Dar es Salaam, walioulizwa milo mingapi walikula kwa siku wiki iliyopita.
"Baada ya kuanguka sana kwa msingi uliotayarishwa miezi ya Agosti na Septemba mwaka 2010 na Januari mwaka 2012, asilimia ya nyumba zilizoripoti kupata milo mitatu kwa siku imeongezeka kwa kiasi tangu mwanzo mwa mwaka huu," ripoti hiyo ilisema.
Wizara ya Usafiri wa Anga ya mkoa wa Somaliland siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni) iliikataza ndege...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata makamu wanne wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Ma...
Watu wenye silaha kwenye Kaunti ya Wajir walimuua polisi mmoja wa akiba wa Kenya siku ya Jumanne ...
Japan inaipa Tanzania dola milioni 49 (shilingi bilioni 80.4) kama msaada na mkopo kwa ajili ya k...
Inspekta Jenerali wa Polisi David Kimaiyo yeye pekee yake amewateua na kuwapangia kazi maafisa wa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne ilimkubalia Makamu wa Rais wa Kenya Willia...
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Kwa Somalia kukabiliwa na hatari ya wimbi jipya la njaa, kunaweza kusababisha kupote kwa maisha ya maelfu ya watu, hasa watoto na wanawake. Hatari hii inayotishia kuwa inayokuja karibuni na kubwa sana, inahitaji hatua za haraka na kuratibiwa kwa pamoja na vikosi na vyombo vyote vya msaada ya kibinadamu duniani. Tishio la njaa linaloenea kutoka kusini hadi kaskazini ya Somalia, ambako sasa ipo "Jamhuri ya Somaliland", nayo pia inakabiliwa na hali hiyo hiyo ya Somalia yenyewe. Lazima kuwepo na ongezeko la msaada ya kibinadamu ambayo inatolewa kwa Somalia, ambako kuna zaidi ya watu milioni tatu walio katika mahitaji ya kudumu ya msaada wa chakula; na ambako bado familia nyingi hazimudu kukabiliana na matatizo ya ukame unaoikumba nchi. Tatizo la mwaka jana liliacha idadi kubwa ya familia za Wasomali zikiteseka kutokana na kutokuwa na uwezo kukabiliana na athari za ukame, na wengi watalipa gharama za tatizo jipya la mahitaji yao mazao ya kilimo, kuzuia kupanda kwa bei za chakula, kunakoambatana na tahadhari za kimataifa juu ya ukosefu wa chakula unaotishia huko mbele.