Agosti 03, 2012
Mkuu wa wilaya ya Dadaab Albert Kimathi ameapa kuwashughulikia waendesha teksi za pikipiki, maarufu kama boda boda, katika kambi ya wakimbizi ya Dadaab, liliripoti gazeti la The Star la Kenya hapo Alhamisi (tarehe 2 Agosti).
Waendeshaji wa boda boda wamekuwa wakilaumiwa kwa kuwasafirisha wahalifu kuingia na kutoka kwenye kambi hiyo katika miezi ya karibuni. Tayari boda boda zimezuiwa kufanya kazi baada ya saa 12 jioni, alisema Kimathi.
"Tofauti na pale zamani ambapo tulikuwa na taksi tu, katika miezi ya hivi karibuni boda boda zimeibuka kama njia inayopendwa ya usafiri na wengi," alisema Kimathi. "Hii ndio sababu ya kutia shaka kwa sababu waendeshaji wake wanajilikana na wengi wao hawakusajiliwa. Tunahofu kwamba sasa wahalifu wanawatumia kufanya uhalifu wao."
Pikipiki mbili ziliwabeba washukiwa waliowateka wafanyakazi wa Baraza la Wakimbizi la Norwei mwezi uliopitakutoka kambi ya wakimbizi ya Ifo II na kuwapeleka Somalia, liliripoti gazeti hilo.
Wizara ya Usafiri wa Anga ya mkoa wa Somaliland siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni) iliikataza ndege...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata makamu wanne wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Ma...
Watu wenye silaha kwenye Kaunti ya Wajir walimuua polisi mmoja wa akiba wa Kenya siku ya Jumanne ...
Japan inaipa Tanzania dola milioni 49 (shilingi bilioni 80.4) kama msaada na mkopo kwa ajili ya k...
Inspekta Jenerali wa Polisi David Kimaiyo yeye pekee yake amewateua na kuwapangia kazi maafisa wa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne ilimkubalia Makamu wa Rais wa Kenya Willia...
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji