Agosti 03, 2012
Maharamia wanaweza kupatiwa msaada ikiwa watawaachia huru mateka wao na kurudisha vyombo walivyoviteka, alisema Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed akizungumza na gazeti la London Times siku ya Ijumaa (tarehe 3 Agosti).
Baada ya kupiga kampeni zake mjini Balad, umbali wa kilomita 40 kaskazini mwa Mogadishu, Rais Ahmed alisema alikuwa tayari kurudia adhabu kwa maharamia 2,000 wanaofikiriwa kufanya shughuli zao katika pwani ya Somalia.
"Wale watakaoachana na kile walichokuwa wakifanya watasamehewa," alisema, kwa mujibu wa shirika la habari la AFP. "Serikali itahakikisha kuwa milango iko wazi, ikiwa wanataka kuingia ndani."
Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali pia alionesha kuunga mkono kwake pendekezo hilo la msamaha. "Hakuna huruma kwa maharamia, sio kutoka kwangi, lakini kama wanaachana na kazi hiyo na kusema 'Ninatubu na naomba msamaha'; basi tunapaswa kufanya hivyo," alisema.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji