Kampeni ya kijeshi nchini Somalia yatia nguvu mafunzo ya vijana Kenya

Agosti 03, 2012

  • 1 Maoni
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Maafisa wa kijeshi wa Kenya wanasema jitihada za mafunzo zimekutana na mwamko wa vijana mwaka huu, liliripoti gazeti la The Standard la Kenya hapo Alhamisi (tarehe 2 Agosti).

Luteni Kanali Luzurus Wafula, afisa mkuu wa mafunzo ya kijeshi, alisema kwamba mapambano ya wanajeshi wa Kenya dhidi ya al-Shabaab nchini Somalia yamewatia nguvu vijana na kuwavutia kujiunga na jeshi.

"Kuna shauku kubwa na mwanzoni tulidhani watu wasingelijitokeza. Huku Rumuruti tulishangazwa," alisema.

Zaidi ya wanaume 250 na wanawake 30 walijitokeza kwa mafunzo ya kijeshi kwenye Uwanja wa Michezo wa Manispaa ya Nanyuki, alisema, na mafunzo kwa ajili ya jeshi la ardhini, majini na angani yataendelea.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 5)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Maoni ya msomaji

  • IMWENE NOAH
    August 4, 2012 @ 08:34:27AM

    HONGERA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo