Kundi la maulamaa wa Kiislamu lapinga baadhi ya vifungu vya katiba

Julai 30, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Kundi moja la maulamaa wa Kiislamu wa Somalia lilipaza sauti yake kupinga vifungu kadhaa ya rasimu ya katiba hapo Jumapili (tarehe 29 Julai), likisema vinapingana na Uislamu, iliripoti Redio Risaala ya Somalia.

Rais wa Baraza Kuu la Kidini la Somalia, Sheikh Bashir Ahmed Salad, alisema kundi hilo linapoingana na vifungu vinavyohusu umri wa baleghe, kupiga marufuku tohara ya wanawake na mipaka ya Somalia.

Naibu mwenyekiti wa kundi hilo, Sheikh Nur Baruud Gurhan, alisema serikali ilikuwa imeelezea msimamo wake wa kuheshimu sheria ya Kiislamu.

Rasimu hiyo ya katiba inasema kwamba sheria ya Kiislamu ni msingi wa kisheria kwa Somalia.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 5)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, katiba ya Kenya inapaswa kurekebishwa ili kulipa baraza jipya la Seneti madaraka zaidi?

Angalia matokeo