Julai 22, 2012
Tanzania itazalisha zaidi ya chakula cha kutosha ili kukidhi mahitaji ya ndani mwaka huu, Waziri wa Tanzania wa Kilimo, Usalama wa Chakula na Ushirika Christopher Chiza aliliambia bunge siku ya Ijumaa (tarehe 20 Julai).
Zaidi ya tani milioni 13.5 za chakula zinatarajiwa kuvunwa mwaka huu, na kukidhi asilimia 113 ya mahitaji ya nchi, Chiza alisema, kwa mujibu wa gazeti la Tanzania la Daily News. Ziada kubwa katika mikoa nane itakidhi upungufu katika mikoa mengine sita, huku mikoa saba iliyobakia ikiwa inaweza kukidhi mahitaji yake yenyewe, alisema.
Chiza alisema sekta ya kilimo Tanzania ilichangia asilimia 23.7 ya uchumi wa nchi mwaka 2011. Uwekezaji mkubwa zaidi katika sekta hii unahitajika ili kufikia lengo la Mpango wa Taifa wa Maendeleo uliotarajiwa wa kiwango cha ukuaji wa asilimia 6, alisema, na kuongeza kuwa ukuaji katika sekta ya kilimo ulifikia asiliia 3.6 mwaka jana, na asilimia 4.2 mwaka 2010.
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji