Julai 22, 2012
Viongozi wa Puntland wametangaza wameteka meli iliyobeba mabomu kutoka Yemeni ikielekea Somalia siku ya Ijumaa (tarehe 20 Julai), gazeti la Yemen Post liliripoti.
Al-Qaeda huko Yemeni walikuwa wakisafirisha roketi, milipuko, risasi na baruti kwa al-Shabaab, alisema Waziri wa Puntland wa Bandari na Kukabiliana na Uharamia alisema Mohamed Rage. Alisema Mwanaume wa Yemeni aliwekwa chini ya ulinzi wakati meli ilipokamatwa.
Al-Shabaab walitangaza kuungana kwao na al-Qaeda mwaka jana, na serikali ya Puntland ilizingatia shughuli za al-Qaeda zinazoendelea huko Yemen zinaweza kuendelea hadi katika himaya yake, kwani wapiganaji wamejulikana wakisafiri kati ya Somalia na Yemen . Mwezi Machi Waziri wa Mambo ya Ndani wa Yemen alikiliaumu kikundi cha al-Shabaab kwa kupeleka wapiganaji takriban 300 kuungana na al-Qaeda dhidi ya jeshi la Yemeni na majeshi ya usalama.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Yemen inawaunga mkono wanamgambo wa al-Shabaab nchini Somalia kwa kuwapa mafunzo vijana wasio na ajira kutoka nchi za kigeni kwa kisingizio kwamba wanawapeleka Saudia, Irani, Iraki na Afghanistani kwa kazi zenye faida kubwa na ila vijana kujikuta Somalia wanapigana sambamba na al-Shabaab na Waeritrea dhidi ya AMISOM.