Julai 17, 2012
Mahakama ya Kenya ilitoa dhamana kwa washukiwa wawili wa ugaidi wa Irani wanaoshitakiwa kufanya vitendo vya uharibifu mkubwa , Redio Capital FM ya Kenya iliripoti hapo Jumatatu (tarehe 16 Julai).
Washukiwa hao wawili, Ahmed Mohamud na Sayed Mausud, walishutumiwa kwa kumiliki kilo 15 za milipuko yenye nguvu ya RDX. Waliamriwa kusalimisha mahakamani pasipoti zao na kutakiwa kuripoti kwa kitengo cha Polisi wa Kupamabana na Ugaidi mara mbili kwa wiki.
"Nimebaini kuwa wawili hawa si wafanyaji wa makosa makubwa na hata kama ndio hivyo, katiba inawaruhusu kupewa dhamana, Jaji Mkuu Paul Biwott alisema. Dhamana hiyo ilipangwa kuwa shilingi milioni 2 (dola 23,000) kwa kila mmoja.
Polisi ya Kenya iliomba dhamana hiyo ikataliwe , kwa kusisitiza kuwa washukiwa hao wawili walikuwa tishio kwa usalama.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Kenya ni eneo la ufisadi halmuradi tu uwe nacho, una haki ya kutenda kupita uwezo wa sheria.
Hii inaonyesha wazi kuenea sana kwa ufisadi ndani ya Mahakama ya Kenya. Kwa kutumia pesa, unaweza kukodi chumba cha Kibaki na kumtoa nje. Zaidi, karibuni mtasikia kuwa watu wawili hawa wamekimbia nchi kwa kughushi pasipoti, na kesi itafungwa. Ni huzuni kwenu, watumwa wa dirham na dinari.