Julai 13, 2012
Askari wawili wa Kenya walipigwa risasi na kujeruhiwa vibaya katika mashambulizi yanayotajwa kufanywa na wapiganaji wa al-Shabaab hapo Alhamis (tarehe 12 Julai), kiliripoti kituo cha redio cha Capital FM cha Kenya.
Maafisa hao wa polisi walikuwa wakirudi kutoka Garissa kupitia eneo la Arabia, karibu na mpaka wa Somalia, pale watu wenye silaha walipoanza kuwarushia risasi.
"Watu hao wenye silaha walikuwa kwenye makundi na walituchawanyia risasi nasi tukawajibu," alisema naibu mkuu wa polisi, John Mbaluka.
Wiki mbili zilizopita, watu wenye silaha waliwaua watu 17 na kuwajeruhi wengine kadhaa katika mashambulizi yaliyolenga makanisa mawili mjini Garissa.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Ni tendo baya kuua watu wasio na hatia ambao ni wapenda amani.