Julai 08, 2012
Vikosi vya Ulinzi vya Kenya vyatafuta kuandikisha askari wahitimu wa chuo kikuu pamoja na kuwapa mafunzo katika nyuga za kiufundi, gazeti la Kenya la Daily Nation liliripoti Jumamosi (tarehe 7 Julai).
Wataalamu wa kuandikisha askari katika maeneo kama vile maendeleo ya programu za kompyuta, mifumo ya taarifa za kijiografia na mambo ya hali ya hewa ni sehemu ya programu za kisasa zilizobuniwa kufanya vikosi hivi kuwa na ufanisi zaidi," alisema msemaji wa jeshi meja Emmanuel Chirchir. "Kama ilivyo kwenye taasisi zozote, kuna vipengele vya taarifa vinavyotakiwa katika operesheni za kisasa."
Kapteni mstaafu Simiyu Werunga alisema vikosi vyenye mafunzo makubwa vitakidhi mahitaji ya jeshi kutengeneza ramani zenye taarifa za kina kuhusu ardhi ya mapigano, kutabiri ruwaza za hali ya hewa na silaha za kisasa.
Vikosi vya Kenya vinavyopambana na al-Shabaab nchini Somalia sasa viko rasmi chini ya mwamvuli wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Ninamuomba Mungu alilinde jeshi.
MIMI NI RAIA WA KENYA MWENYE UMRI WA MIAKA 25 SASA. Kwa upande wa sayansi na teknolojia ndio ninaofanya vizuri. Tayari nmeshamaliza kozi ya uhandisi wa ndege katika chuo cha uendeshaji ndege cha shirika la ndege la Trans-eastern Airline kilichoko Bomas of Kenya, na nimepata alama ya kufaulu katika mtihani wangu wa KNEC. Ninao uzoefu wa kazi katika ndege za kiraia usiopungua mwaka mmoja. Pia ninaweza kufanya mradi kama vile mfumo wa kudhibiti kifaa kwa mbali. Nikipewa kazi ninaweza kuonesha kwa vitendo kipaji nilichonacho katika sayansi na teknolojia. Shukrani mapema.
Ni vyema kutumia intelijensia katika vikosi, ambapo ninajidai nilikuwemo humo kabla. Inakuwaje sasa Kabuga bado inalindwa na vikosi vyetu na tunaweza kuona vipi washirika wako huko DRC walilazimishwa kurudi nyuma? Wakati kondoo anayelindwa inasemekana kuwa na mkono katika vikosi vya waasi?