Julai 03, 2012
Mke wa rais wa Jibuti Khadra Mohamud Haid alifadhili ufunguzi wa kituo kipya cha afya cha akina mama na watoto jijini siku ya Jumatatu (tarehe 2 Julai), gazeti la La Nation la Jibuti liliripoti.
Mako Goumaneh Pavilion, walijenga kituo cha Dar al-Hanan kwa msaada kutoka katika Mfuko wa Maendeleo wa Afrika, kituo kina vitanda 50 na vyumba viwili vya upasuaji, vyumba vitatu vya kupumzikia vimetengwa kwa ajili ya akina mama wanaohitaji ungalizi wa karibu, na vyumba kwaajili ya neonatolojia.
Haid alisisitiza umuhimu wa kutoa huduma bora kwa akina mama na watoto wachanga.
"Kupungua kwa vifo vya akina mama na watoto kumebainishwa kama jambo muhimu la taifa," alisema. "Ni kuhusu uhamasishaji mahsusi wa kitaasisi kuhusiana na umuhimu wa programu zilizotekelezwa kwa msaada wa wabia wetu wa maendeleo. Maana yake ni kupambana kwa ajili ya maisha."
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji