Ban Ki-moon alaumu mashambulio ya kanisa huko Garissa

Julai 03, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon alilaumu mashambulio ya Jumapili kwenye makanisa mawili katika mji wa Garissa nchini Kenya katika taarifa iliyotolewa na msemaji wake Jumatatu.

Mashambulio haya, ambayo kwa makusudi yalilenga maeneo ya ibada, ni ya kushutumiwa na ni makosa ya jinai," taarifa hiyo ilisema. "Hakuna sababu inayoweza kuhalalisha mashambulio yasiyokuwa na mapango yanayolenga raia. wakosaji wa mashambulio haya, na vitendo vingine vya kigaidi vya hivi karibuni, ni lazima wakamatwe kuwajibishwa."

Ban aliendelea kutoa rambirambi zake kwa waathirika wa mashambulio haya na familia zao. Si chini ya watu 16 waliuawa na dazeni kujeruhiwa katika shambulio hilo.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 1)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo