Julai 03, 2012
Hospitali ya Taifa ya Kenyatta imetoa ombi la kuongezeka kwa uchangiaji damu kuokoa maisha ya waathirika sita ambao walipata majeraha makubwa Jumapili katika mashambulio ya kanisa huko Garissa, gazeti la Kenya la The Standard liliripoti Jumatatu (tarehe 2 Julai).
Hospitali hiyo iinawapatia matibabu waathirika saba wa mashambulio ya Jumapili -- wanawake wanne na wanaume watatu. Si chini ya watu sita waliuawa katika shambulio hilo, na dazeni walijeruhiwa.
"Tunahitaji damu kwa haraka kwakuwa wagonjwa sita wanatakiwa kufanyiwa operesheni," alisema Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo Richard Lesiyampe. "Tunatoa wito kwa Wakenya kujitokeza na kuchangia damu kusaidia raia wenzao.
"Tunafanya kila linalowezekana kurejesha afya ya wagonjwa hawa," Lesiyampe alisema.
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Sheria mpya ya ugaidi lazima iimarishwe. Magaidi wasiachiwe kwa dhamana na washitakiwe kama wauwaji. Fikiria watu 17 wameuawa, na wakati magaidi wanapokamatwa, wanaachiwa kwa dhamana na mwisho wanarejea kufanya ugaidi kwa watu wa Kenya wasio na hatia. Lazima sheria ipitiwe na kupewa kipaumbele cha mwanzo katika bunge letu.