Julai 02, 2012
Waendesha mashitaka wa Kenya wameondosha madai ya ugaidi dhidi ya raia wa Jordan mwenye hati za ukimbizi nchini Uswisi, maafisa wa polisi walisema hapo Jumatatu (tarehe 2 Julai).
"Mashitaka yote, ukiachia kuwemo nchini isivyo halali, yametupiliwa mbali na upande wa mashitaka kutoka na kukosekana ushahidi wa kutosha," makamo msemaji wa polisi Charles owino aliiambia AFP.
Magd Najjar, mwenye umri wa miaka 19, alishikiliwa na polisi baada ya kuingia nchi isivyo halali mwezi Mei. Alishitakiwa katika mahakama ya Nairobi hapo tarehe 6 Juni kwa "kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kupangwa kwa kuwa mwanachama wa al-Shabaab, kikundi cha kihalifu kilichopigwa marufuku."
Mwishoni mwa wiki Uswisi ilisema ilimkatalia Najjar kurejea nchini huko, kwa kuonyesha kuwa angeweza kukosa hadhi yake ya ukimbizi kutokana na tukio hilo.
Owino alisema kuwa Najjar alilipa faini na kuachiliwa, lakini hakusema kwa sasa yuko wapi.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji