Julai 01, 2012
Raisi wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alitembelea mji wa Balad uliokombolewa hivi karibuni Jumamosi (tarehe 30 Juni).
Hadi sasa wakati wa ziara yake, Ahmed alikagua vituo vya kijeshi kadhaa na majengo yaliyochakaa katika mji wa Shabelle ya Kati baada ya vikosi vya AMISOM na Somalia kuukomboa kutoka kwa al-Shabaab Jumanne, Redio RBC ya Somalia iliripoti.
Ahmed alivisifu vikosi vya Umoja wa Afrika na vya serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia, na kuapa kuendeleza mapigano katika nchi yote dhidi ya al-Shabaab hadi watakapotoweka kabisa nchini Somalia.
“Serikali inajaribu kudumisha sheria na amri katika maeneo yaliyokombolewa upya na tunatarajia kupata msaada kutoka kwa watu wa ndani,” alisema. “Hatutaruhusu nafasi yeyote isiyo ya usalama kutokea kwa sababu tunajua kuwa baadhi ya waharibifu wanaweza kutaka kutumia hali kama ya wakati huu.”
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
Mahakama moja ya Bosaso iliwatia hatiani na kuwapiga faini Wairani 78 siku ya Jumapili (tarehe 19...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata watuhumiwa 15 kuhusiana na kulichoma Kanisa la Bethania kweny...
Mkuu wa Polisi wa Kenya, David Kimaiyo, ameondoa nafasi za afisa polisi wa jimbo, afisa wa upelel...
Watu wenye silaha waliwaua watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne katika mashambulizi tofauti kw...
Mkutano wa kuzungumzia uwezekano wa uchimbaji mafuta na gesi, uwekezaji, usalama na miundombinu n...
Wizara ya Masuala ya Wanawake na Familia ya Puntland ilianza mafunzo ya siku nane hapo Juampili (...
Zaidi ya Wasomali milioni 1 hawatakuwa na "usalama wa chakula" hadi mwezi wa Septemba, Mtandao wa...
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji