Juni 29, 2012
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda, amewahakikishia raia kwamba serikali yake itachukua hatua zote za lazima kuhakikisha usalama wao, liliripoti gazeti la nchi hiyo la The Guardian hapo Ijumaa (29 Juni).
Pinda, aliyekuwa akitoa msimamo wa serikali, alikuwa akijibu suala la mbunge wa Sikonge, Saidi Nkumba, aliyesema kwamba licha ya serikali kufanikiwa kudhibiti uhalifu, matukio kadhaa katika siku za karibuni yameitikisa Tanzania, likiwemo lile la vifo vya wahamiaji 43 waliokuwa wakipitia nchini humo na mashambulizi dhidi ya mtalii kwenye mbuga ya Serengeti.
Pinda alisema baraza la usalama la taifa limekuwa likijadiliana hatua muafaka kwa matukio hayo.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
nimependa kazi yenu, nzuri, inatufumbua macho, Mungu awabariki