Wasomali wanaoishi nje wachangia fedha kwa mtu aliyejeruhiwa katika mashambulizi ya Dhusamareb

Juni 29, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Muhanga mmoja wa umlipuko wa bomu katika mkahawa mjini Dhusamareb amepokea dola za Kimarekani 1,230 kama msaada wa kifedha kutoka Wasomali wanaoishi nje, imeripoti redio ya Umoja wa Mataifa, Bar-Kulan, hapo Ijumaa (Juni 29).

Sheikh Abukar Abdullahi Liban alimkabidhi Abdirahman Ali Abdi fedha hizo kulipia gharama za matibabu yake kutokana na madhara ya mishipa ya fahamu aliyoyapata kwenye mlipuko huo.

Al-Shabaab ilibeba dhamana ya mashambulizi hayo ambayo yaliwaua wabunge wawili. Majeruhi saba walipelekwa mjini Addis Ababa kupata matibabu.

Mji wa Dhusamareb katika mkoa wa Galguduud uko chini ya udhibiti wa wanamgambo wanaoiunga mkono serikali, Ahlu Sunna wal Jamaa.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo