Juni 29, 2012
Waziri Mkuu wa Ulinzi wa Somalia Hussein Arab Isse aliendesha mkutano na maafisa wa serikali mjini Mogadishu siku ya Alhamisi (tarehe 28 Juni), mtandao wa habari wa Somalia wa Shabelle Media Network uliripoti.
Mkutano huo ulilenga katika kuzidisha hatua za usalama jijii, kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya Banadir Mohammed Yusuf. “Kwa msaada wa watu wa Somalia na mashirika ya usalama ya Somalia, tutamaliza matendo ya hatari jijini,” alisema.
Maafisa wanasema Mogadishu imekuwa salama zaidi tangu kuondolewa kwa al-Shabaab katika mji wa karibu wa Afgoye mwezi uliopita, kwa vile wanamgambo hawana tena kambi ya karibu ya kuanzisha mashambulizi.
Polisi nchini Tanzania wamewakamata watu 90 siku moja baada ya maandamano ambapo mtu mmoja aliuaw...
Kenya ililiomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) kufutwa kw...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia aliongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa ...
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Shirika la Maendeleo la Pembe ya Afrika (IGAD) w...
Kiongozi wa jamii huko Zanzibar, Mohammad Omar Said, alishambuliwa kwa tindikali siku ya Alhamisi...
Mahakama moja ya Puntland imewahukumu kifo watu saba kwa mauaji ya ulamaa wa Kisomali, Abdulkadir...
Shirika la kimataifa la misaada la Global Partnership for Education (GPE) limetangaza msaada wa d...
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa Kenya...
Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto ameahidi adhabu kali zaidi kwa majangili katika mswada wa Sh...
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji