Juni 29, 2012
Mahakama ya Mombasa imetoa ruhusa kwa polisi kumshikilia mtu anayeshukiwa kwa upigaji bomu Jumapili iliyopita huko Mombasa kwa siku 10 zaidi, gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti Alhamisi (tarehe 28 Juni).
Mtuhumiwa huyo, Athuman Salim Kassim, amekuwa kizuizini tangu shambulio la tarehe 24 Juni na atatolewa kutoka hospital na kupelekwa kituo cha polisi.
Inspekta Mkuu wa Polisi Luka Tumbo alisema katika hati ya kiapo kuwa anazo taarifa zinazoonyesha uhusiano wa Kassim na upigaji bomu katika bar, ambapo watu watatu waliuawa na 30 kujeruhiwa.
Pia siku ya Alhamisi, Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi aliwataka polisi kuanzisha uchunguzi katika shambulio la Mombasa. “Tunawataka polisi kuanzisha uchunguzi wa kina na kuwakamata watu waliohusika na mlipuko ambao ulisababisha vifo kadhaa na kuwajeruhi wengine,” alisema.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji