Mlipuko wa Balad wawalenga majeshi ya Somalia

Juni 29, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Mlipuko ulitokea katika mgahawa unaotembelewa na askari wengi wa Somalia na maafisa huko Balad Shabelle ya Kati siku ya Ijumaa (tarehe 29 Juni), mtandao wa habari wa Shabelle Media Network uliripoti.

Kwa mujibu wa Gavana wa Shabelle ya Kati Mohammed Jinow, hakuna mtu aliyejeruhiwa katika shambulio hilo, ingawa mashuhuda wanasema watu kadhaa waliuwawa, shirika hilo la habari liliripoti.

Jinow aliwataka wakazi wa eneo hilo kushirikiana na vvikosi vya usalama kuweka amani na usalama katika eneo hilo.

Hakuna kikkundi chochote kilichokiri kuhusika na shambulio hilo.

Vikosi vya Somalia na Misheni ya Umoja wa Afrika Somalia (AMISOM) viliuchukua mji wa Balad kutoka kwa al-Shabaab wiki hii bila ya upinzani.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo