Juni 29, 2012
Mlipuko ulitokea katika mgahawa unaotembelewa na askari wengi wa Somalia na maafisa huko Balad Shabelle ya Kati siku ya Ijumaa (tarehe 29 Juni), mtandao wa habari wa Shabelle Media Network uliripoti.
Kwa mujibu wa Gavana wa Shabelle ya Kati Mohammed Jinow, hakuna mtu aliyejeruhiwa katika shambulio hilo, ingawa mashuhuda wanasema watu kadhaa waliuwawa, shirika hilo la habari liliripoti.
Jinow aliwataka wakazi wa eneo hilo kushirikiana na vvikosi vya usalama kuweka amani na usalama katika eneo hilo.
Hakuna kikkundi chochote kilichokiri kuhusika na shambulio hilo.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji