Juni 25, 2012
Viongozi huko Afgoye ilisema kuzuiliwa kwa watu kutembea usiku kulikoagizwa kwa wananchi tangia mji ukombolewe mwezi uliopita kumefanikiwa, Redio inayoendeshwa na serikali iliripoti siku ya Jumapili (tarehe 24 Juni).
Mkuu wa Polisi wa Afgoye Ibrahim Dini Isaaq alisema kimsingi hali katika mji imeboreshwa kwa kuweka amri ya kutotembea usiku, ambayo awali ilipendekezwa na wazee wa mji. Matembezi ya usiku yanazuiliwa kuanzia saa 12: 15 jioni hadi 11:15 alfajiri.
Isaaq aliiambia Redio Mogadishu kwamba majeshi ya usalama yamepanua shughuli zao nje ya Afgoye, ambalo limechangia katika kuboreshwa kwa usalama wa eneo.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Kuweka amri ya kutotoka nje ni hatua sahihi ya kuvuruga shughuli za kigaidi. Magaidi walinilazimisha kukimbia nchi yangu. Nina matumaini makubwa kwamba nitaweza kurudi nyumbani karibuni. Ninawaomba kila la heri kwa Wasomali. Ndugu yenu Khalid, Msomali ninayeishi nchini Jordan.