Juni 24, 2012
Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ilitangaza hapo Jumamosi (tarehe 23 Juni) kuwa majeshi yake yameteka bandari ya El-Maan na uwanja wa ndege wa Esaley uliopo karibu kutoka kwa al-Shabaab.
Bandari na uwanja huo wa ndege, vilivyoko takriban kilomita 40 kaskazini ya Mogadishu kwenye mkoa wa Shabelle ya Kati, zilikuwa sehemu muhimu kwa al-Shabaab kwa ajili ya kuagiza silaha na kupitishia wapiganeji wake wa ndani na nje ya nchi. Al-Shabaab waliuteka uwanja huo wa ndege mwaka 2006, hivyo kuzuia upelekaji wa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo.
“Shambulio hili la mafanikio, ambalo lilianzishwa na vikosi vyetu, limetuwezesha kuhakikisha eneo la kimkakati la usalama kwa kuingilia Mogadishu,” alisema Luteni Jenerali Andrew Gutti, kamanda wa vikosi vya AMISOM kuruhusiwa kuongezwa nguvu kwa askari kufikia 17,731, vikosi vya AMISOM vimepata nguvu kwa ajili ya kazi kubwa iliyopo mbele yao kuelekea kuleta amani na usalama kwa Somalia yote.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji