Juni 21, 2012
Uwanja wa ndege wa Ugas Khalif mjini Beledweyne umefunguliwa tena na sasa uko tayari kwa matumizi ya kiraia, iliripoti Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa, hapo Jumatano (tarehe 20 Juni).
Naibu mkuu wa usalama wa mkoa huo, Ahmed Osman Abdulle, aliwahutubia watu waliohudhuria katika sherehe ya ufunguzi huo ambapo alitangaza kwamba uwanja huo wa ndege unafunguliwa kwa ajili ya ndege za kibiashara na binafsi, ikiwa ni hatua ya kuimarisha maendeleo na huduma kwa kijamii.
Hapo zamani uwanja huo wa ndege ulikuwa umewekwa kwa matumizi ya mashirika ya misaada na majeshi ya Umoja wa Afrika na Somalia.
Polisi nchini Tanzania wamewakamata watu 90 siku moja baada ya maandamano ambapo mtu mmoja aliuaw...
Kenya ililiomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) kufutwa kw...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia aliongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa ...
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Shirika la Maendeleo la Pembe ya Afrika (IGAD) w...
Kiongozi wa jamii huko Zanzibar, Mohammad Omar Said, alishambuliwa kwa tindikali siku ya Alhamisi...
Mahakama moja ya Puntland imewahukumu kifo watu saba kwa mauaji ya ulamaa wa Kisomali, Abdulkadir...
Shirika la kimataifa la misaada la Global Partnership for Education (GPE) limetangaza msaada wa d...
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa Kenya...
Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto ameahidi adhabu kali zaidi kwa majangili katika mswada wa Sh...
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji