Juni 21, 2012
Wadhamini wa mpango wa amani wa Somalia walikutana jijini Nairobi hapo Jumatano (tarehe 20 Juni) kujadili maendeleo yaliyopigwa kuelekea mwisho wa kipindi cha mpito.
Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed wa Somalia, Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Somalia, Augustine Mahiga; maraisi wa Puntland na Galmudug, na wawakilishi wa wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia, Ahlu Sunna wal Jamaa, wanahudhuria mkutano huo.
Mjumbe wa Somalia nchini Kenya, Mohammed Ali Noor, alisema matarajio kwa mkutano huo ni makubwa na maendeleo muhimu sana yatafikiwa kupitia mkutano huo, kwa mujibu wa Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa.
Tarehe ya mwisho ya Serikali ya mpito ya Somalia mwezi Agosti.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji