Juni 19, 2012
Ofisi ya Siasa ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Somalia imewezesha semina ya wanawake iliyohusu ushiriki katika siasa huko Mogadishu ambayo ilimalizika siku ya Jumatatu (tarehe 18 Juni), Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti.
Waziri wa Wanawake aliratibu semina hiyo ambayo wanawake 37 walijifunza njia za kuongeza wajibu wao katika siasa ya Somalia. Waziri Maryan Aweys alisema wanawake wa Somalia wanapaswa kutumia asilimia 30 ya fungu walilotengewa kwani Somalia imeshapita katika utawala wa mpito.
Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Augustine Mahiga aliwahimiza wanawake kuzidisha jitihada zao mara mbili ili kutatua migogoro ya kisiasa nchini Somalia.
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Kufanyika kwa mikutano ya kimataifa nchini Somalia ni faida kwa watu na uchumi wa Somalia. Mikutano ina dhamira ya kuonyesha kuwa Somalia ina mwanga tofauti na kuonyesha ulimwengu wote hatua kubwa ambazo nchi inapiga katika kuijenga upya nchi yao. Mikutano ya kimataifa ina umuhimu mwingine kwa nchi kwa sababu inasaidia kueleza baadhi ya masuala nyeti na kujaribu kuyatafutia suluhisho. Mkutano wa kimataifa vile vile unairuhusu serikali ya Somalia kuomba misaada zaidi ya wafadhili kutoka kwa jumuiya ya kimataifa. Umuhimu mkubwa wa mkutano wa kiamtaifa ni kuwakaribisha wawekezaji wa kigeni kuja na kuwekeza Somalia ambapo masoko yamekua kwa nguvu, Hili pia litasaidia kuionesha kile Somalia ilicho nacho kama vile utamaduni, fursa za kibiashara na mengine zaidi.