Juni 12, 2012
Shirika la Kifalme la Misaada la Bahrain (RCO) limechimba kisima cha maji ya kunywa Somalia kwa kushirikiana na Shirika la Dunia la misaada la Kiislamu, Shirika la Habari la Bahrain liliripoti siku ya Jumatatu (tarehe 11 Juni).
Katibu Mkuu wa RCO Mustafa al-Sayyed alisema shirika litaendelea na kazi zake za kuwasaidia Wasomali.
Pia shirika hilo la misaada lilitiliana saini ya makubaliano ili kufanya upasuaji wa macho kwa Wasomali 6,000 kwa kushirikiana na Shirika la Misaada la Dunia la Kiislamu kama sehemu ya mchango wa Bahrain katika kutoa misaada kwa watu wa Somalia.
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji