Rais wa Somalia kufanya mazungumzo na wakazi na viongozi wa usalama wa Afgoye

Juni 12, 2012

  • 1 Maoni
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed aliwasili Afgoye Jumatatu (tarehe Juni 11), akiongoza ujumbe wa mawaziri na viongozi wa kijeshi, Redio Mogadishu inayomilikiwana serikali iliripoti.

Ujumbe imepanga kufanya mikutano hapo Jumanne na maafisa wa serikali pamoja na wazee wa kikabila na viongozi wa dini wa Afgoye ili kujadili jinsi ya kuimarisha usalama na kuhakikisha usalama wa raia.

Ahmed pia atafanya kikao katika ukumbi wa mji na wakazi wa mitaa ili kujadili njia ya kupambana na watu wenye msimamo mkali na jinsi ya kuanzisha utawala bora wa serikali katika mji.

Ziara hiyo ya Rais ya usiku kucha huko Afgoye ni mara ya kwanza rais wa Somalia kulala Afgoye kwa zaidi ya miaka 20.

Majeshi ya Umoja wa Afrika na Somalia yaliiteka ngome ya zamani ya al-Shabaab huko Afgoye.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 2)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Maoni ya msomaji

  • nimubona ernest
    June 13, 2012 @ 01:38:08AM

    Amani ya Somalia ni kwa ajili ya Wasomali, hivyo lazima waongoze katika kurejesha utulivu. Hongera Mheshimiwa Raisi.

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo