Juni 08, 2012
Maharamia wa Somalia waliiachia huru meli ya mafuta na kemikali inayomilikiwa na Ugiriki ikiwa na mabaharia 21 wa Ufilipini baada ya zaidi ya miezi saba ya kuihikilia, gazeti la Ufilipino la SunStar liliripoti.
Msemaji wa Idara ya Mambo ya Nje ya Ufilipini Raul Hernandez alisema Ijumaa (tarehe 8 Juni) kuwa meli ya MT Liquid Velvet iliachiwa huru hapo Jumatatu baada ya kushikiliwa tangu tarehe 31 Oktoba 2011.
Kwa sasa meli hiyo inasafiri kuelekea bandari ya Omani ya Salalah. Hakukuwa na ripoti ya mara moja iliyotolewa kuhusu fedha ya kukombolea meli hiyo.
Maharamia wa Somalia bado wanashikilia mateka mabaharia 45 katika meli tano huko Ghuba ya Adeni, gazeti liliripoti.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji