Juni 08, 2012
Vikosi vya usalama vya Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia na Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia (TFG) vinatayarisha mashambulizi dhidi ya al-Shabaab katika mji wa Balad, ulioko kilomita 30 kaskazini ya Mogadishu, kwa mujibu wa Jenerali Ugadi Kiki wa AMISOM.
"Baada ya kuhakikiha uaalama katika ushoroba wa Afgoye, uliojazana watu wa ndani waliokimbia makazi yao. Tunatayariha hambulizi jengine kubwa dhidi ya wanamgambo waliobakia katika eneo la Shabelle ya Chini,” Kiki aliema, mtandao wa Shabelle Media Network uliripoti hapo Ijumaa (tarehe 8 Juni). “Hii ni hatua yetu inayofuata ya Opereheni Yetu Shabelle Huru.”
Katika habari zinazohusiana na hizi, Waziri wa Ulinzi wa Somalia Hussein Arab Isse aliliambia baraza la mawaziri kuwa vikosi vya AMISOM na TFG vimefanikiwa kuviteka vijiji vingi na vinaendelea kuelekea katika mji wa Kismayo unaodhibitiwa na al-Shabaab, mtandao wa Shabelle Media Network uliripoti hapo Ijumaa.
Isse alisema pia kutakuweko na mahakama ya kijeshi huko Afgoye, ambako mtu yeyote katika jeshi atakayefanya uhalifu dhidi ya watu atahukumiwa.
Wizara ya Usafiri wa Anga ya mkoa wa Somaliland siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni) iliikataza ndege...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata makamu wanne wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Ma...
Watu wenye silaha kwenye Kaunti ya Wajir walimuua polisi mmoja wa akiba wa Kenya siku ya Jumanne ...
Japan inaipa Tanzania dola milioni 49 (shilingi bilioni 80.4) kama msaada na mkopo kwa ajili ya k...
Inspekta Jenerali wa Polisi David Kimaiyo yeye pekee yake amewateua na kuwapangia kazi maafisa wa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne ilimkubalia Makamu wa Rais wa Kenya Willia...
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji