Juni 07, 2012
Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alikutana na wazee wa kikabila Jumatano (tarehe 6 Juni) kujadili kuhusu uchaguzi wa wajumbe ambao wataidhinisha rasimu ya katiba.
Rais na Naibu Waziri wa Biashara Abdiwahab Ugas Hussein walikutana na wazee wa kikabila katika uwanja wa ndege wa Mogadishu kwa maombi ya wazee hao, Shirika la Habari la Taifa la Somalia liliripoti.
Ahmed alitoa wito kwa wazee hao kuitisha kamati yao iliyoanzishwa upya na kuchagua wajumbe wasomi kwa ajili ya Bunge la Katiba la Taifa kupiga kura kuhusu rasimu ya katiba. Uchaguzi wao unatakiwa uwe umekamilika ifikapo tarehe 20 Juni.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji