Juni 05, 2012
Watu saba wahojiwa Jumatatu (tarehe 4 Juni) na Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi Kenya kwa siku ya tatu mfululizo, baada ya kukamatwa Jumamosi kwa kuipiga picha ndege katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, Nairobi.
Polisi wanawahoji watuhumiwa kujua nia yao ya kuipiga picha ndege, kaimu kamanda mkuu wa polisi Moses Ombati alisema, kwa mujibu wa Africa Review.
Sheria ya Kenya inaeleza kwamba watuhumiwa wanapaswa kupelekwa mahakamani ndani ya saa 24 baada ya kukamatwa kwao, lakini polisi hawajasema kwa nini wamewashikilia kwa muda mrefu bila ya kuwashitaki.
Kati ya watuhumiwa hao, wawili ni kutoka Somalia. Polisi ilisema wanadai kuwa wao ni watalii wanaopigapicha za wanyama nchini, ingawa simu zao za mkononi zilikuwa na picha ya ndege na uwanja wa ndege.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji