Mei 31, 2012
Si chini ya watu 6, wakiwemo raia watatu, waliuawa hapo Jumatano (tarehe 30 mei) kaskazini mwa eneo la Galkayo kutokana na bomu lililotegwa kando ya barabara kulipuka wakati vikosi vya usalama vilipokuwa vikijaribu kulitegua, AFP iliripoti.
"Watu watatu wa vikosi vya usalama na raia watatu waliuawa katika mlipuko huo, alisema afisa usalama Mahdi Abdulahi.
"Raia walidhani kuwa ilikuwa salama na wakasogea, lakini lililipuka," alisema Jama Alale, mwenye duka anayeishi jirani, na kuongeza kuwa aliona miili ya maiti huku viungo vyao vikiwa vimekatika kutokana na mlipuko huo.
Hakuna kikundi kilichodai kuhusika na mlipuko huo.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji